IBADA YA JUMAPILI 19/10/2014
| Pastor Sosthenes akifundisha katika ibada hiyo |
Mama Benyamin akimshukuru Mungu kwa uponyaji wa tumbo na kutopata mtoto kwa muda mrefu,baada ya maombi Mungu alimfungua na amepata mtoto.
| Mwalimu Pendo akimshukuru Mungu kwa kupata nyumba ya kuishi ya Serikali katika shule anayofundisha. |
| Mtumishi Luckson akihudumu |
Comments
Post a Comment