Pastor Sosthenes Christopher akihudumu |
SOMO KUU:
KWANINI TUNAZIHITAJI NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU.
1. ILI KUISHI MAISHA YA KUSONGA MBELE.
Matendo 1:8
-Ukijawa na nguvu hakuna shetani anaweza kuzuia progress yako
Mithali 4:18
-Ukijawa na nguvu za Mungu mapito yako yataendelelea kung'aa, utasonga mbele kuanzia Yerusalem hata miisho ya nchi.
2. KWA AJILI YA KUHIFADHIWA NA KULINDWA.
- Siwezi kujilinda mwenyewe dhidi ya malango ya kuzimu ni nguvu za Mungu tu juu yangu
1Petro 1:5
Luka 10:19
3. KWA AJILI YA MWACHILIO.
Kutoka 3:19-20
-Israeli walizuiliwa utumwani mpaka nguvu za Mungu zilipozihirishwa wakaachiliwa.
-Zipo nguvu zinazoweza kukuzuia lakini nguvu kuu za Mungu zinapozihirishwa unatoka katika fifungo hivyo.
4.ILI KUYAFURAHIA MATUNDA YA KAZI ZA MIKONO YANGU.
Isaya 62:8-9
-Si mapenzi ya Mungu taabu ya mikono yangu akala mtu mwingine
Mhubiri 5:18-19
Mhubiri 6:2
-Ni karama ya Mungu kufurahia kazi ya mikono yangu na ni Mungu anayeniwezesha kwa nguvu zake kula matunda ya taabu ya kazi yangu.
5.ILIKUPATA MATOKEO HATA KATIKA MAZINGIRA MAGUMU.
Isaya 10:27
Luka 1:34-35
-Nguvu za Mungu zitafanya yasiyo wezekana yawezekane
HABARI KATIKA PICHA:
Baadhi ya waumini wakifuatilia kwa umakini mahubiri |
Baadhi ya waumini wakifuatilia kwa umakini mahubiri Kwaya ya kina mama LGC wakiwa katika huduma Praise & Worship Team wakihudumu Mchungaji (hayupo pichani) akiongoza maombi |
Comments
Post a Comment