SOMO: LIFE THAT IS FAR FROM OPPRESSION
THE EFFECTS OF RIGHTEOUSNESS: (MAZAO/MATUNDA YA HAKI)
-There are two types of
righteousness
a)By doing
Kwa maana Musa aliandika
juu ya haki itokayo kwa sheria, ya kuwa, Mtu afanyaye hiyo ataishi kwa hiyo.
(RUM. 10:5).
b)By receiving
Kwa maana ikiwa kwa
kukosa mtu mmoja mauti ilitawala kwa sababu ya yule mmoja, zaidi sana wao
wapokeao wingi wa neema, na kile kipawa cha haki, watatawala katika uzima kwa
yule mmoja, Yesu Kristo. (RUM. 5:17).
-This disturbed Israelites
and many today.
Kwa maana, wakiwa
hawaijui haki ya Mungu, na wakitaka kuithibitisha haki yao wenyewe, hawakujitia
chini ya haki ya Mungu. (RUM. 10:3).
Kwa maana nawashuhudia
kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa. (RUM. 10:2).
-After receiving this new
kind of life, there are effects.
Kwa maana ikiwa kwa
kukosa mtu mmoja mauti ilitawala kwa sababu ya yule mmoja, zaidi sana wao
wapokeao wingi wa neema, na kile kipawa cha haki, watatawala katika uzima kwa
yule mmoja, Yesu Kristo. (RUM. 5:17).
-They that receive...they
shall reign in life i.e they shall be kings in life
-To be a king, means you have extraordinary
authority.
1. Extraordinary
authority.
2. Peace, quietness and
assurance forever.
Na kazi ya haki itakuwa
amani; na mazao ya haki yatakuwa ni utulivu na matumaini daima. Na watu wangu
watakaa katika kao la amani; na katika maskani zilizo salama, na katika mahali pa
kupumzikia penye utulivu. (ISA. 32:17, 18).
-Peace I give unto you...
-Our strength is in...
Kwa maana Bwana MUNGU,
Mtakatifu wa Israeli, asema hivi, Kwa kurudi na kustarehe mtaokolewa; nguvu
zenu zitakuwa katika kutulia na kutumaini; lakini hamkukubali. (ISA. 30:15).
-When...you become unmovable,
you will be not shaken in this life; you will be full of assurance.eg father
Abraham:
Abramu akamwambia mfalme
wa Sodoma, Nimeinua mkono wangu kwa BWANA, Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu
na nchi, ya kuwa sitatwaa uzi wala gidamu ya kiatu wala cho chote kilicho
chako, usije ukasema, Nimemtajirisha Abramu; (MWA. 14:22, 23).
3. Flourishing and
growth.
The righteous shall
flourish like the palm tree: he shall grow like a cedar in Lebanon.
Mwenye haki atasitawi
kama mtende, Atakua kama mwerezi wa Lebanoni. (ZAB. 92:12 SUV).
Comments
Post a Comment