IBADA YA SHUKRANI 29/11/2015
Pastor Sosthenes akifundisha katika ibada hiyo.
Pastor Sosthenes akifundisha katika ibada hiyo.
Mtumishi Amani Katala akiongoza maombi ya shukrani
Mtumishi Juliana akiongoza maombi ya shukrani katika ibada hiyo
Mama Mchungaji akiwaongoza washirika kumshukuru Mungu katika ibada hiyo.
Mchungaji Sosthenes akiwatamburisha baadhi ya watu alioanza nao huduma
Picha juu na chini; Pastor akiwapongeza baadhi ya watu alioanza nao huduma.
Mchungaji na Familia yake wakimshukuru Mungu kwa mambo makubwa aliyoyafaya katika familia yao.
Mr & Mrs. David Kapuya wakimshukuru Mungu kwa mambo ya ajabu aliyowafanyia katika familia yao tangu walipojiambatanisha na huduma hii.
Picha juu na chini; Pastor akiwapongeza baadhi ya watu alioanza nao huduma.
Mchungaji na Familia yake wakimshukuru Mungu kwa mambo makubwa aliyoyafaya katika familia yao.
Comments
Post a Comment