PICHA ZA IBADA YA SHUKRANI 24/11/2013

Waumini wakishangilia wimbo wa papii band
Picha mbalimbali za ibada ya jumapili tarehe 24/11/2013 katika ibada ya shukrani iliofanyika kanisani LGC.
Muhubiri: Bishop Dr. Shemsanga
alishirikiana vema kabisa na Mwenyeji wake Pastor Sosthenes Christopher.
Kulikuwa na waimbaji kama: Jane miso, Papii band na  wenyeji Life Givers worship team.
Ibada ilanza saa 4 asubuyi na kumalizika saa 9 na nusu mchana. 

Waumini pamoja na Baba na Mama Mchungaji wakishiriki katika kipindi cha sifa


Mtumishi Thomas akieleza kuhusu shuhuda mbalimbali

Ms David akimshukuru Mungu kwa kumponya na ugonjwa

wa kisukari uliomsumbua kwa kipindi cha miaka 3

Baadhi ya mashemasi LGC



Watoto wakishiriki katika ibada


Mchungaji Sosthenes akimtambulisha Mama Mchungaji kuwa ni msaidizi
wake mkuu katika huduma na bila yeye wala asingefika alipofikia leo hii



Bishop Dr. Shemsanga akihudumu


Dr. Shemsanga akimchezea Mungu kupitia wimbo

Comments