SIKU YA TATU YA SEMINA YA SHUKRANI


Ijumaa 22 November, 2013 
Akiendelea na somo: Nguvu ya shukrani, Pastor Simon Pandulla aliendelea kuweka msingi wa kushukuru kwa wakristo na pia kufafanua kwa jinsi gani tunatakiwa kushukuru.
Mch. Simon aliendelea kusisitiza kwamba sisi wakristo tunatakiwa kujenga tabia ya kumshukuru Mungu kabla hata ya kutendewa maajabu.

Baada ya mahubiri Mch. Pandulla alifanya maombi kwa wale wote waliokuja kutoa sadaka zao za shukrani kama namna ya kujenga tabia ya kumshukuru Mungu kabla hujajibiwa kulingana na maombi yako,
Pia aliombea Mchungaji Sostheness na viongozi wa kanisa pamoja na kanisa kwa ujumla.




Pastor Sosthenes pamoja na Pastor Pandulla 











Waumini wakiwa katika maombi










Mch. Simon akiwaombea waliokuja kutoa shukrani zao










Timu ya kusifuna kuabudu wakiwa katika huduma

Comments