Mchungaji kiongozi Sosthenes Christopher akiwa nahubiri kanisani hapo kwenye ibada ya X-mas alisema kwamba wakristo tunatakiwa kukumbuka siku ya kuzaliwa kwa yesu na kuendelea kumpa nafasi katika maisha yetu ya kila siku.
Timu ya waimbaji wakiwa katika huduma Life givers Singers wakiimba wimbo wa Shangwe kwa kuzaliwa kwa Yesu kristo |
Mchungaji akiwa nagawa zawadi kwa waumini |
Katika kushiriki kwenye kipindi cha keki |
Picha ya familia ya Mchungaji na baadhi ya waumini baada ya Ibada
Comments
Post a Comment