IBADA YA X-MAS 2013

 

Mchungaji kiongozi Sosthenes Christopher akiwa nahubiri kanisani hapo kwenye ibada ya X-mas alisema kwamba wakristo tunatakiwa kukumbuka siku ya kuzaliwa kwa yesu na kuendelea kumpa nafasi katika maisha yetu ya kila siku.

Timu ya waimbaji wakiwa katika huduma




Life givers Singers wakiimba wimbo wa Shangwe kwa kuzaliwa kwa Yesu kristo










 Baba na Mama mchungaji pamoja na waumini wakishangilia kwa wimbo

Mchungaji akiwa nagawa zawadi kwa waumini

Katika kushiriki kwenye kipindi cha keki
 Picha ya familia ya Mchungaji na baadhi ya waumini baada ya Ibada



Comments