IBADA YA JUMAPILI 19/01/2014

KUVIKWA KIBALI KWA NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU:


Luka 1:26-38,46-48.
Twaweza sema kibali ni Kama sumaku ya kiroho inayovuta rasilimali(resources),inayovuta watu(personalities)na inayovuta mianya ya mafanikio(opportunities).
What favour can do:
1.It by passes physical laws to produce heavenly products.
-Mariam akasema,litakuwaje neno hili,maana sijui mume? Luka 1:34
2.kutambulika na kukubalika
-Luka 1:48
3.ushindi kinyume cha adui
-Zaburi 44:1-3
Jinsi ya kukichochea katika maisha:
1.kuwa tayari kutumiwa na Mungu(availability).
-...tazama mimi ni mjakazi wa Bwana,iwe kwangu kama ulivyosema-Luka 1:38
2.Usafi na mwenendo mwema
-Luka 1:27...alikuwa bikira,iliyo ishara ya purity.
3.Jua kwamba unacho kibali
-Luka 1:46-48
-Mithali 23:7a
4.Unyenyekevu wa moyo
-Luka 1:48...ameutazama unyonge wa mjakazi wake.


Pastor Sosthenes akiendelea na mahubiri


Shemasi Siston akiwa katika huduma 


Baadhi ya waumini wakisikiliza kwa umakini mahubiri


Ibada ikiendelea Kanisani


Mchungaji akifanya maombi





Mchungaji akisalimiana na washirika baada ya Ibada.










Comments

Post a Comment