IBADA YA JUMAPILI 05/01/2014

Pastor Sostheness akihubiri kanisani LGC katika jumapili ya kwanza kabisa ya mwaka 2014
na kukaribisha mfungo wa siku 10 pamoja na maombi ya kila siku saa 11 hadi 12 kamili jioni.


Mchungaji na familia yake wakiwa wanafanyiwa maombi na Mtumishi John Thomas



Waumini wakiendelea na maombi 

Comments