Mwendelezo wa somo kuu: Idara saba za Roho mtakatifu
ROHO WA UTAKATIFU:
Warumi 1:3-4.
Yesu Bwana wetu alidhihirishwa kwa uweza kuwa mwana wa Mungu kwa jinsi ya roho ya utakatifu.
-utakatifu sio jambo linaloanzia nje bali ni utendaji kazi wa Roho wa Mungu ndani ya mtu.
-Yesu aliwakemea mafarisayo kwa mkazo wao juu ya mambo ya nje kisha akaelezea umuhimu wa kusafisha ndani na nje hatimaye kunakuwa safi.
-unapookoka,unapokea asili mpya,unakuwa kiumbe kipya,ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya(2Korintho 5:17); tumezaliwa kwa mbegu isiyoharibika kwa Neno la Mungu lidumulo milele(1Petro 1:23);Yesu anafanyika haki kwako na utakatifu (1Korintho 1:30).Asili mpya imeingia ndani mwako.
-Hivyo kwa upya huu wa maisha na kwa kuifuata sheria ya Neno la Uzima
Maisha haya mapya yanajidhihirisha nje.
-Hivyo unapolitenda Neno unasafika zaidi(Zaburi 119:9);Yesu alisema ninyi mmekuwa safi kwa sababu ya lile Neno nililowaambia(Yohana 15:3)
-Utajaribiwa ila Neno litakufanya uwe mshindi(Mwanzo 39:9;42:18)
HABARI MBALIMBALI KATIKA PICHA
ROHO WA UTAKATIFU:
Warumi 1:3-4.
Yesu Bwana wetu alidhihirishwa kwa uweza kuwa mwana wa Mungu kwa jinsi ya roho ya utakatifu.
-utakatifu sio jambo linaloanzia nje bali ni utendaji kazi wa Roho wa Mungu ndani ya mtu.
-Yesu aliwakemea mafarisayo kwa mkazo wao juu ya mambo ya nje kisha akaelezea umuhimu wa kusafisha ndani na nje hatimaye kunakuwa safi.
-unapookoka,unapokea asili mpya,unakuwa kiumbe kipya,ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya(2Korintho 5:17); tumezaliwa kwa mbegu isiyoharibika kwa Neno la Mungu lidumulo milele(1Petro 1:23);Yesu anafanyika haki kwako na utakatifu (1Korintho 1:30).Asili mpya imeingia ndani mwako.
-Hivyo kwa upya huu wa maisha na kwa kuifuata sheria ya Neno la Uzima
Maisha haya mapya yanajidhihirisha nje.
-Hivyo unapolitenda Neno unasafika zaidi(Zaburi 119:9);Yesu alisema ninyi mmekuwa safi kwa sababu ya lile Neno nililowaambia(Yohana 15:3)
-Utajaribiwa ila Neno litakufanya uwe mshindi(Mwanzo 39:9;42:18)
HABARI MBALIMBALI KATIKA PICHA
Pastor Sosthenes (nyuma), akiombea familia ya Mr. & Mrs. Charles Christopher
katika kutimiza miaka 7 ya ndoa.
|
Waumini wote wakiwa nashiriki kwenye kuombea familia ya Mr. & Mrs. Charles |
Mchungaji akiwaombe baadhi ya waumini baada ya mahubiri |
Washirika wakifualitia mafundisho kwa makini |
Mama Rose Mhando akitoa matangazo mbalimbali ya kanisa pamoja na kukaribisha wageni waliofika kanisani kwa mara ya kwanza |
Timu ya kusifu na kuabudu LGC wakiwa katika huduma |
Ibada ilikuwa nzuri sana, Mungu akubariki Pastor. Ila muandishi aedit kwenye caption ya picha ya mchungaji wakati anafanya maombi, ameandika mcungaji. Mungu awabariki kwa kazi njema.
ReplyDelete