SOMO KUU
NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU:
Mathayo 28:18
Bwana Yesu alisema nimepewa mamlaka yote...'All power is given unto me...'
Hivyo Roho ayachukuaye ya Kristo(Yohana 16:14-15),huzifunua nguvu zake kwetu.Na ili tutembee katika nguvu hizo,lazima tujitiishe na kujinyenyekeza chini yake.
Kuna maneno kadhaa ya kiyunani yanayoelezea nguvu za Mungu.
1. ARCHE.
-Neno hili linaelezea udhihirisho wa nguvu za Roho Mtakatifu katika uumbaji.kuumbwa kwa kitu mahali pasipokuwepo na kitu.
-Ni nguvu ya uumbaji ya Mungu.
Waweza iona wazi wazi:
A: Wakati wa kuumbwa kwa ulimwengu.
Mwanzo 1:2-3
Yohana 1:1-3
Waebrania 11:3.
B: kuzaliwa kwa Yesu-Incarnation
Luka 1:35
Waebrania 10:5
Yohana 1:14
C: kuzaliwa Mara ya pili
1Petro 1:23
2Corintho 5:17
Yote hufanyika kwa nguvu ya Neno litamkwalo ambalo Roho Mtakatifu hulidhihirisha.
2. ISCHUS
Hii ni nguvu kuu ya Roho Mtakatifu inayopenya kila nguvu ya upinzani na vizuizi.
-Matendo ya mitume 19:20
Pastor Sostheness akiwa naombea na Kubariki Meza ya Bwana |
Katika kushiriki Meza ya Bwana |
Kipindi cha maombi |
Pastor Sostheness akiwapiga picha Vijana wake (Life Givers Singers) Wakiwa katika huduma |
Life Givers Singers wakihudumu
Kutoka Kushoto:
Maxwell, Mwalimu Nimrod, Mtumishi Elisha, Mtumishi Thomas, Dada Hawa, Eliza, Merina, Sabrina and Jackline.
|
Comments
Post a Comment