IBADA YA VIJANA 30/3/2014
HABARI KATIKA PICHA
HABARI KATIKA PICHA
Mtumishi Siston akihudumu siku ya ibada iliyoongozwa na vijana. |
Mchungaji na Mama Mchungaji wakifuatilia kwa makini. |
Mtumishi Kazaura akitoa neno la Sadaka |
Mgeni, Mchungaji Beatrice Mmasi kutoka Living Water Centre- Tanga akisalimia Kanisa |
Mtumishi David akiwasilisha mada juu ya mradi ambao Kanisa linatarajia kuuanza |
Mhubiri wa siku ya vijana ambaye pia ni mwenyekiti wa vijana, Joseph akihubiri |
Mchungaji akiombea watoto katika ibada hiyo. |
Mchungaji akiomba kwaajili ya vijana na kanisa kwa ujumla wakati akihitimisha ibada hiyo |
Comments
Post a Comment