IBADA YA VIJANA 30/3/2014

HABARI KATIKA PICHA
Mtumishi Siston akihudumu siku ya ibada iliyoongozwa na vijana.






Mchungaji na Mama Mchungaji wakifuatilia kwa makini.


Mtumishi Kazaura akitoa neno la Sadaka


Mgeni, Mchungaji Beatrice Mmasi kutoka Living Water Centre- Tanga akisalimia Kanisa
Mtumishi David akiwasilisha mada juu ya mradi ambao Kanisa linatarajia kuuanza


Mhubiri wa siku ya vijana ambaye pia ni mwenyekiti wa vijana, Joseph akihubiri



Mchungaji akiombea watoto katika ibada hiyo.














Mchungaji akiomba kwaajili ya vijana na kanisa kwa ujumla wakati akihitimisha ibada hiyo



Comments