LIFE
THAT IS FAR FROM OPPRESSION:
Utathibitika
katika haki; utakuwa mbali na kuonewa, kwa maana hutaogopa; na mbali na hofu,
kwa maana haitakukaribia. (ISA. 54:14).
-Oppression
in this life is real.
-From
the wicked one
-Even
if you don’t offend, he will come and fight you.
-Here
is where this question has an answer, why bad things happen to good people.
-But
for us God says, you will be far from Oppression, far from fear.
-To
be far away from oppression the Bible says...Utathibitika katika haki.
-In
righteousness shall thou be established:
-So
to know righteousness and to be established therein delivers you from
oppression.
-From
men's standing point, righteousness is all about what I do which is right.
-Righteousness
we speak here is God's not our own.
Ndugu
zangu, nitakayo sana moyoni mwangu, na dua yangu nimwombayo Mungu, ni kwa ajili
yao, ili waokolewe. Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya
Mungu, lakini si katika maarifa. Kwa maana, wakiwa hawaijui haki ya Mungu, na
wakitaka kuithibitisha haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.Kwa
maana Kristo ni mwisho wa sheria, ili kila aaminiye ahesabiwe haki. (RUM.
10:1-4).
-In
the Old Testament you are righteous by doing the law...
Kwa
maana Musa aliandika juu ya haki itokayo kwa sheria, ya kuwa, Mtu afanyaye hiyo
ataishi kwa hiyo. (RUM. 10:5).
-In
the New Testament is a gift, you receive it.
Kwa
maana ikiwa kwa kukosa mtu mmoja mauti ilitawala kwa sababu ya yule mmoja,
zaidi sana wao wapokeao wingi wa neema, na kile kipawa cha haki, watatawala
katika uzima kwa yule mmoja, Yesu Kristo. (RUM. 5:17).
-That
is why, when you are established in it, you shall be far from oppression.
WHAT
IS RIGHTEOUSNESS:
-Is
the nature of God, very life of God.
-There
is great event happens at salvation. There recreation happens in man's spirit.
.Humanity becomes divinity.
.Divine lives in human body-this is the Great
secret!
-Do
you remember when Paul and Barnabas were at Listra
Na
makutano walipoona aliyoyafanya Paulo wakapaza sauti zao, wakisema kwa
Kilikaonia, miungu wametushukia kwa mifano ya wanadamu. (MDO 14:11).
-Hata
imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita
tazama! Yamekuwa mapya. (2 KOR. 5:17).
-So,you
received the NATURE of God.
.In the act of creation, everything reproduce
after its kind.
-No matter if I buck...I cannot be a dog
-may be the miracle happens...
-One
day Nebukadreza received a nature
of an animal, see how true it is...
moyo
wake ubadilike, usiwe moyo wa binadamu, na apewe moyo wa mnyama; nyakati saba
zikapite juu yake. Nawe utafukuzwa mbali na wanadamu, na makao yako yatakuwa
pamoja na wanyama wa kondeni; utalishwa majani kama ng’ombe, na nyakati saba
zitapita juu yako, hata utakapojua ya kuwa Aliye juu ndiye anayemiliki katika
ufalme wa wanadamu, naye humpa amtakaye, awaye yote. Saa iyo hiyo jambo hilo
likatimizwa, likampata Nebukadreza; alifukuzwa mbali na wanadamu, akala majani
kama ng’ombe, na mwili wake ulilowa maji kwa umande wa mbinguni, hata nywele
zake zikakua, zikawa kama manyoya ya tai, na kucha zake kama kucha za ndege.
(DAN. 4:16, 32, 33).
-Even
his company, food and appearance changed.
1.
Company
2.
Food
3.
Appearance.
-When
you receive this nature, nurse it.
-So
now with this God's nature in you, no oppressor can oppress you
-This
week, train your mind, remand yourself,...I HAVE THE NATURE OF GOD.
PRAYER:
1 1. Now the right has come. Destroy every oppression
in your life.
2 2.Give me grace to change my attitude, I
reign in life.
-From today see you reigning, use word in
declaration, prophecy, and prayer.
-You
sickness, I know who I am.....
-You
poverty.....
-You
bondage...
Comments
Post a Comment