IBADA YA JUMAPILI 14/9/2014
LIFE THAT IS FAR FROM OPPRESSION:
Utathibitika katika haki; utakuwa mbali na kuonewa, kwa maana hutaogopa; na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia. (ISA. 54:14).

Pastor Sosthenes akifundisha katika ibada hiyo.

HEALING FROM THE INSIDE:
...safisha ndani na tazama yote yanakuwa safi
...uso wake ukabadilika...
...He is the life giving spirit...
...Rom 8:11
THE MIGHTY WORKING POWER IN US:
Eph 3:20.
Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu;
-There is a mighty working power in us, e.i from within.
-What we carry in our inside is bigger than ourselves,bigger than the world
 ...kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu. (LK. 17:21)
-The recreated man makes the king and His kingdom to abide in us.
 
Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake. (YN. 14:23).
...kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. (2 KOR. 6:16).
-When this understanding comes to light,you start operating in  stranger  Dimension of the Spirit.
-Master key is Self discovering
Kwa maana ikiwa kwa kukosa mtu mmoja mauti ilitawala kwa sababu ya yule mmoja, zaidi sana wao wapokeao wingi wa neema, na kile kipawa cha haki, watatawala katika uzima kwa yule mmoja, Yesu Kristo. (RUM. 5:17).
ili kwamba ushirika wa imani yako ufanye kazi yake, katika ujuzi wa kila kitu chema kilicho kwetu, katika Kristo. (FLM. 1:6).
-Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu; (EFE. 3:20).
-This power can subdue all oppression
 of the enemy.
Lakini nalimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni; lakini naliyaangamiza matunda yake toka juu, na mizizi yake toka chini. (AMO. 2:9).

Tazameni, nitawalemea ninyi, Kama gari lilemeavyo lililojaa miganda. Naye apigaye mbio atapotewa na kimbilio; Wala aliye hodari hataongeza nguvu zake; Wala shujaa hatajiokoa nafsi yake; Wala apindaye upinde hatasimama; Wala aliye mwepesi wa miguu hataokoka; Wala apandaye farasi hatajiokoa nafsi yake; Naye mwenye moyo mkuu miongoni mwa mashujaa Atakimbia uchi siku ile, asema BWANA. (AMO. 2:13-16).

-More than what we ask or think...
.This power is released on this foundation

HOW JESUS WALKED IN POWER:

WORDS:-what words.
Kwa sababu mimi sikunena kwa nafsi yangu tu; bali Baba aliyenipeleka, yeye mwenyewe ameniagiza nitakayonena na nitakayosema. Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi, kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo. (YN. 12:49, 50).
THOUGHTS:
Basi Yesu alipoinua macho yake akaona mkutano mkuu wanakuja kwake, alimwambia Filipo, Tununue wapi mikate, ili hawa wapate kula? Na hilo alilinena ili kumjaribu; kwa maana alijua mwenyewe atakalotenda. (YN. 6:5, 6).
Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo.(MIT. 23:7a)
-Think according to the word
Na Petro alikuwa akiyafikiri yale maono. Roho akamwambia,...(MDO 10:19)
-Think possibilities

THOUGHT PATTERN:
Hatimaye, ndugu zangu, mambo yo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo ya staha, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote yenye kupendeza, yo yote yenye sifa njema; ukiwapo wema wo wote, ikiwapo sifa nzuri yo yote, yatafakarini hayo. (FLP. 4:8).
-Don't leave your mind idle-learn it 
Washirika wakisikiliza mafundisho kwa makini



Lifegivers praise team wakihudumu
Mama Rose Mhando akishuhudia na kumshukuru Mungu kwa kumponya mguu
Mrs. Victor akishuhudia jinsi Bwana Yesu alivyomponya na maumivu ya tumbo baada ya kuombewa na mchungaji.
Mrs. Amani akishuhudia jinsi Bwana Yesu alivyomponya.

Comments