LIGHT
OUT OF DARKNESS: (Nuru iangazayo gizani)
-Being
far from oppression is as a result of being established in righteousness.
i.e what it is and what it offers.
-So
we must bother to know this truth.
-Many
are confusing it with good works, but good works are the fruits of it.
.It is the life of God, is His nature.
Ex:
-Are
you righteous?
-Are
you man or woman?
-How
did you get that way?
-That
is the way you got righteousness.
-Spiritually,
you have born that way.
Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa
kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; waliozaliwa, si kwa
damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.
(YN. 1:12, 13).
.kwa namna ya Mungu,kwa njia ya Mungu,kwa
mfano na sura yake.
Kwa
kuwa mmezaliwa mara ya pili; si kwa mbegu iharibikayo, bali kwa ile
isiyoharibika; kwa neno la Mungu lenye uzima, lidumulo hata milele. (1 PET.
1:23).
Operating
in the fourth dimension:
-You
are not responding to the challenges of life from the 1st or 2nd or 3rd
dimensions, but from the 4th dimension.
Yeye
ajaye kutoka juu, huyo yu juu ya yote. Yeye aliye wa dunia, asili yake ni ya
dunia, naye anena mambo ya duniani. Yeye ajaye kutoka mbinguni yu juu ya yote.
(YN. 3:31).
Akawaambia,
Ninyi ni wa chini, mimi ni wa juu; ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa
ulimwengu huu. (YN. 8:23).
i.e operating from your regenerating spirit.
-From
there, God has commanded light to shine out of darkness.
Kwa
kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang’aa toka gizani, ndiye aliyeng’aa mioyoni
mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo. (2
KOR. 4:6).
.The same ability is within us, to cause Light
to shine out of darkness. E.g darkness of sickness.
How:
Kulikuwako
Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu. (YN. 1:9)
Hapo
taa yake ilipomulika juu yangu kichwani, Nami nilitembea gizani kwa njia
ya mwanga wake; (AYU. 29:3).
1.Mwanangu,
sikiliza maneno yangu; Tega sikio lako, uzisikie kauli zangu. Zisiondoke
machoni pako; Uzihifadhi ndani ya moyo wako. Maana ni uhai kwa wale wazipatao,
Na afya ya mwili wao wote. (MIT. 4:20-22).
.So pay attention to the word of God and be
the doer of it.It carries power.
Nabii
aliye na ndoto, na aseme ndoto yake; na yeye aliye na neno langu, na aseme neno
langu kwa uaminifu. Makapi ni kitu gani kuliko ngano? Asema BWANA. Je! Neno
langu si kama moto? Asema BWANA; na kama nyundo ivunjayo mawe vipande vipande?
(YER. 23:28, 29).
Maana
Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote
ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta
yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.
(EBR. 4:12).
2.Lakini,
ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye
aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali
ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu. (RUM. 8:11).
NOTE:
-Biology...life
is transmitted through the blood.
.Kwa kuwa uhai wa mwili u katika hiyo damu;...Lev.17:11.
-But
when ur born again, life comes from your spirit.
Ndivyo
ilivyoandikwa, Mtu wa kwanza, Adamu, akawa nafsi iliyo hai; Adamu wa mwisho ni
roho yenye kuhuisha. (1 KOR. 15:45).
-Rom
8:11...
.quicken=make alive, vitalize (give strength
and energy to
By
speaking in tongues,
Yeye
anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake;... (1 KOR. 14:4)
|
Comments
Post a Comment