IBADA YA JUMAPILI 31/8/2014

LIFE THAT IS FAR FROM OPPRESSION:
Utathibitika katika haki; utakuwa mbali na kuonewa, kwa maana hutaogopa; na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia. (ISA. 54:14).

Mama Lucy akishuhudia jinsi Bwana Yesu alivyo mponya kitu kilichokuwa kimemkaba koo na kupona baada ya kuombewa.
Dada Joyce Makala akishuhidia jinsi Yesu alivyomponya na mateso ya maumivu ya tumbo kwenye siku zake,mguu na mkono vilivyomtesa kwa miaka mingi. Baada ya kuhangaika hospitali nyingi na kwa waganga wa kienyeji, alikutana na Yesu mahali hapa na akamponya kabisa,sasa ni mzima.





Washirika wakiwapongeza Kennedy na Yunicy kwa kutangaza uchumba na kuvalishana pete


FAR FROM OPPRESSION:
-Key to this truth is to be established in Rigtheousness.
-Righteousness is the life of God, the Very nature of God.
-Salvation qualifies you to enter in God's Class.
Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya. (2 KOR. 5:17).
Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu; ninyi mliokuwa kwanza si taifa, bali sasa ni taifa la Mungu; mliokuwa hamkupata rehema, bali sasa mmepata rehema. (1 PET. 2:9, 10).

CONSCIENCENESS OF YOUR TRUE NATURE.
 -The lion knows himself
Simba aliye hodari kupita wanyama wote; Wala hajiepushi na aliye yote; (MIT. 30:30).Ndipo akawaambia hao Zeba na Salmuna, Hao watu mliowaua huko Tabori walikuwa watu wa namna gani? Wakamjibu, Walikuwa kama wewe ulivyo; kila mmoja alikuwa anafanana na wana wa mfalme. Naye akasema, Watu hao walikuwa ndugu zangu, wana wa mamaangu mimi;... (AMU. 8:18, 19).
-what we suffer today is the lack of the conscienceness of this truth.
-Train your mind....
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu. (RUM. 12:2).
mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli. (EFE. 4:24).

EFFECTUAL COMMUNICATION OF OUR FAITH:
IS BY....
ili kwamba ushirika wa imani yako ufanye kazi yake, katika ujuzi wa kila kitu chema kilicho kwetu, katika Kristo. (FLM. 1:6).
That the communication of thy faith may become effectual by the acknowledging of every good thing which is in you in Christ Jesus.

 IMPROVING YOUR SPIRIT: (Kumjenga mtu wa ndani).
Read:Isaya 54:14;Rom 5:17.
-It is important to know,the more I understand myself the more Effective I become.
-Acknowledging every good thing that is in me...makes me to become effective.
    .I am a new creation
Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya. (2 KOR. 5:17).
    .I am righeous and holy
mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli. (EFE. 4:24)
    .I am an image and likeness of God.
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. (MWA. 1:26, 27).
    .I am created in Christ to do good works.
Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo. (EFE. 2:10).

IMPROVE YOURSELF.
-If you don't know about neutrition,hearth
 And your growth will face challenges
Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu; (1 PET. 2:2).
-Pia hutakiwi uishie hapo,ujue sana neno la haki  

Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga. (EBR. 5:13).

-Milk of the Word
Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu; (1 PET. 2:2).

-Meat of the Word
Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoezwa kupambanua mema na mabaya. (EBR. 5:14).

-Honey of the Word
Kicho cha BWANA ni kitakatifu, Kinadumu milele. Hukumu za BWANA ni kweli, Zina haki kabisa. Ni za kutamanika kuliko dhahabu, Kuliko wingi wa dhahabu safi. Nazo ni tamu kuliko asali, Kuliko sega la asali. Tena mtumishi wako huonywa kwazo, Katika kuzishika kuna thawabu nyingi. (ZAB. 19:9-11).

-Wine of the Word
Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho; (EFE. 5:18)
Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima. (YN. 6:63).

Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia. Kwa maana haki ya Mungu inadhihirishwa ndani yake, toka imani hata imani; kama ilivyoandikwa, Mwenye haki ataishi kwa imani. (RUM. 1:16, 17).

Praying in tongues:
Yeye anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake;...(1 KOR. 14:4a).
Bali ninyi, wapenzi, mkijijenga juu ya imani yenu iliyo takatifu sana, na kuomba katika Roho Mtakatifu, (YUD. 1:20).
-Paul said...
Namshukuru Mungu ya kuwa nanena kwa lugha zaidi ya ninyi nyote; (1 KOR. 14:18).
-The Bible says when I pray in tongue,my spirit prays...
Maana nikiomba kwa lugha, roho yangu huomba,... (1 KOR. 14:14a)
-When he prays,he utters deep things...
Maana yeye anenaye kwa lugha, hasemi na watu, bali husema na Mungu; maana hakuna asikiaye; lakini anena mambo ya siri katika roho yake. (1 KOR. 14:2).

Proccess:
1.Know who baptises.
Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto. (MT. 3:11.)
Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja. Kukaja ghafula toka mbinguni uvumi kama uvumi wa upepo wa nguvu ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote waliyokuwa wameketi. Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao. Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka. (MDO 2:1-4).
2.Desire.
Hata siku ya mwisho, siku ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama, akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe. Aniaminiye mimi, kama vile maandiko yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka ndani yake. (YN. 7:37, 38.)
Kwa maana nitamimina maji juu yake aliye na kiu, na vijito vya maji juu ya mahali pakavu; nitamwaga roho yangu juu ya wazao wako, na baraka yangu juu yao utakaowazaa; (ISA. 44:3).
3.Pray.
Hata walipokwisha kumwomba Mungu, mahali pale walipokusanyika pakatikiswa, wote wakajaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la Mungu kwa ujasiri. (MDO 4:31).
Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa; (MT.7:7.)
4.Receive by faith.
-Thanksgiving
Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu; (LK. 17:15).

Petro alipokuwa akisema maneno hayo Roho Mtakatifu akawashukia wote waliolisikia lile neno. Na wale waliotahiriwa, walioamini, wakashangaa, watu wote waliokuja pamoja na Petro, kwa sababu Mataifa nao wamemwagiwa kipawa cha Roho Mtakatifu. Kwa maana waliwasikia wakisema kwa lugha, na kumwadhimisha Mungu. (MDO 10:44-46).

Prayer:
1. Grace for the hunger of the word.
    .Others vitamin b
2. Filled and being refilled

Baadhi ya washirika walishindwa kujizuia kwenye kipindi cha sifa nakujikuta wameshafika madhabahuni.


Comments