IBADA YA SHUKRANI - 30/11/2014

Habari kwanjia ya picha
Pastor Sosthenes Christopher akihudumu katika ibada ya shukrani. Picha chini, washirika wakifuatilia mafundisho kwa makini.














Maigizo pia yalipewa nafasi,picha chini waumini wakifurahia maigizo





















Mchungaji Sosthenes akiwatambulisha waimbaji wa kundi la Mungu kwanza




Mama mchungaji akikata keki ya miaka tisa ya huduma, picha chini, Mchungaji akishiiki kukata keki

Picha juu na chini, Mchungaji akiwalisha keki baadhi ya viongozi wa vikundi ndani ya kanisa.
Washirika wakiangalia documentary fupi ya historia ya huduma.


Comments