IBADA YA JUMAPILI 25/1/2015
Pastor Sosthenes Christopher akihudumu katika ibada hiyo. Picha chini,waumini wakifuatilia mafundisho kwa umakini.








Mama akimshukuru mchungaji kwa maombi baadaya ya kuponywa na nguvu za giza zilizomsumbua kwa kipindi kirefu.









IBADA YA HITIMISHO LA MAOMBI YA MFUNGO WA SIKU 21
 Picha chini, Pastor Sosthenes akiendesha ibada ya feet washing katika hitimisho la maombi ya mfungo wa siku 21







Comments