IBADA YA JUMAPILI 1/3/2015
 Habari kwanjia ya picha
 Picha Juu na chini;Mama Joshua na familia yake akimshukuru Mungu kwa matendo makuu aliyomfanyia kwa kupitia maombi ya mtumishi mahali hapa. Baada ya kukaa muda mrufu bila ya kupata mtoto,Mungu amempa watoto wawili sasa (Joshua na Justice), alikuwa anasumbiliwa na vyura nyumbani kwake, wale vyura wametoweka baada ya maombi.

 Mtumishi wa Mungu Rose Mhando akitoa neno la sadaka
 Life givers wakihudumu
 Picha juu na chini; Pastor Sosthenes akihudumu katika ibada hiyo.





Comments