IBADA YA JUMAPILI MEI 10, 2015
Pastor Sosthenes akifundisha katika ibada hiyo |
Life Givers wakihudumu katika kipindi cha kusifu na kuabudu
Viti havikuweza kukalika,kipindi cha sifa kikiendelea
Mama Mchungaji akiongoza maombi ya kumshukuru Mungu
Mtumishi Alphonce akishuhudia matendo makuu ya Mungu katika kazi yake
Mtumishi Gayos akitoa Neno la sadaka
Mtumishi Doroth akisoma matangazo
Pastor akimuweka wakfu mtoto kwa Bwana
Comments
Post a Comment